IQNA

Msikize Sheikh Abdul Basit akisoma kwa unyenyekevu Aya za  Surah Adh-Dhariyat (+Video)

Msikize Sheikh Abdul Basit akisoma kwa unyenyekevu Aya za Surah Adh-Dhariyat (+Video)

IQNA - Marehemu qari wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad anajulikana katika ulimwengu wa Kiislamu kama mmoja wa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu
17:33 , 2024 Apr 25
Mkuu wa Al-Azhar asisitiza tarjuma sahihi ya maandiko ya Kiislamu

Mkuu wa Al-Azhar asisitiza tarjuma sahihi ya maandiko ya Kiislamu

IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi ya Kiislamu
17:23 , 2024 Apr 25
Qari wa Morocco ashika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Bahrain

Qari wa Morocco ashika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Bahrain

IQNA - Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Bahrain yalihitimishwa Jumatano usiku.
17:09 , 2024 Apr 25
UNRWA yaomba misaada ya kibinadamu Palestina, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

UNRWA yaomba misaada ya kibinadamu Palestina, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

IQNA - Ili kushughulikia mahitaji ya dharura zaidi ya Wapalestina huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limewasilisha ombi la dharura la msaada wa  dola bilioni 1.21.
17:02 , 2024 Apr 25
Bango | Mizani Katika Ulimwengu

Bango | Mizani Katika Ulimwengu

وَالسَّمَاءَ رَفَعَهَا وَوَضَعَ الْمِيزَانَ Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani. Sura Ar Rahman Aya ya 6
14:56 , 2024 Apr 25
Bango | Hakuna usiku tunaolala bila kuwaza kuhusu maadui wetu

Bango | Hakuna usiku tunaolala bila kuwaza kuhusu maadui wetu

Hakuna usiku tunaolala bila kuwaza kuhusu maadui wetu ambao wako mbele ya macho yetu. Utawala huu (wa Israel) hautadumu. Matendo ya utawala huu mamluki yanaonyesha kuwa utawala huu hauko imara na hakuna dalili na athari za uthabiti zinazoweza kuonekana katika utawala huu. [Sehemu ya hotuba ya shahidi Haj Qassem Soleimani katika sherehe za kumbukumbu ya kifo cha kishahidi cha Haj Emad Mughniyeh; (17 Machi 2018)
14:14 , 2024 Apr 25
Kujistahi na nidhamu ya kihisia kulingana na Qur'ani

Kujistahi na nidhamu ya kihisia kulingana na Qur'ani

IQNA - Sababu kuu ya hisia nyingi zisizohitajika ni ukosefu wa kujistahi au ile hisia ya kujiheshimu.
20:54 , 2024 Apr 24
Mashindano ya Qur'ani ya Malaysia

Mashindano ya Qur'ani ya Malaysia

IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
20:40 , 2024 Apr 24
Msahafu wa zama za Uthmaniyya kupigwa mnada jijini London

Msahafu wa zama za Uthmaniyya kupigwa mnada jijini London

IQNA – Msahafu wa kipekee wa enzi za Uthmaniyya ni miongoni mwa bidhaa za sanaa za Kiislamu zitakazopigwa mnada Sotheby's London wiki hii.
20:31 , 2024 Apr 24
Idhaa ya Qur'ani ya Misri yaadhimisha miaka 60 tokea iasisiwe

Idhaa ya Qur'ani ya Misri yaadhimisha miaka 60 tokea iasisiwe

IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
20:21 , 2024 Apr 24
Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza

Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza

IQNA - Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameitaja ripoti kuhusu kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki huko Gaza kuwa ni ya kushtusha, huku ushahidi wa awali ukionyesha utawala haramu wa Israel umehusika katika jinai hiyo.
11:30 , 2024 Apr 23
Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu

Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu

IQNA - Zaidi ya Wairani 83,000 wataelekea Saudi Arabia kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu, afisa mmoja alisema.
11:20 , 2024 Apr 23
Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini

Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini

IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini, ikiwa ni pamoja na Qur'ani Tukufu.
11:07 , 2024 Apr 23
Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani

Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu, tabia ya mtu ya kutetea kwa ukali maoni na matamanio yake inaondolewa na uwezo wake wa kudhibiti hisia zake unaboreka.
09:59 , 2024 Apr 23
Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka

Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka

IQNA - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) siku ya Jumatatu chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel ambao unakalia eneo hilo kwa mabavu.
09:37 , 2024 Apr 23
1