Kwa mujibu wa taarifa, mashindano ya mwaka huu yana washiriki 330 ambao wanashiriki kwa njia ya intaneti kutokana na maambukizi ya COVID-19.
Washiriki wanashindana katika kategoria mbali mbali za kuhifadhi Qur’ani na yataendelea kwa muda wiki mbili.
Lengo la mashindano hayo limetajwa kuwa ni kuwahimiza wenye ulemavu kuhifadhi Qur’ani Tukufu na pia kubaini vipaji miongoni mwao.