iqna

IQNA

msikiti
Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - 'Siku ya Ustawi wa Jamii' itafanyika katika Msikiti wa Madina huko Blackburn nchini Uingereza, ikilenga kuongeza uelewa wa hali mbalimbali za kiafya na saratani, huku pia ikichangisha fedha kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Morocco.
Habari ID: 3477603    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15

Matukio
KADUNA (IQNA)- Watu saba walipoteza wakati sehemu ya msikiti uliojaa mamia ya waumini ilipoporomoka katika mji wa kaskazini mwa Nigeria wa Zaria, katika jimbo la Kaduna, na wengine kadhaa kujeruhiwa, maafisa walisema.
Habari ID: 3477424    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12

Jamii
TEHRAN (IQNA) - Mwaka mmoja uliopita, ilifichuliwa kwamba qibla cha msikiti wenye umri wa miaka 40 katika Wilaya ya Gurcamlar ya Milas, Mugla, nchini Uturuki kilikuwa na makosa. Mwaka mmoja uliopita, ilifichuliwa kwamba qibla cha Msikiti wa Gurcamlar Mahallesi, uliojengwa katika miaka ya 1980, kilikuwa kimeelekea eneo ambalo si Makka.
Habari ID: 3477411    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10

Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Msikiti mmoja nchini Ujerumani ulipokea barua ya vitisho kutoka kwa kundi la Wanazi mamboleo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477384    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/05

Turathi za Kiislamu
ACCRA (IQNA) - Msikiti wa Larabanga ni mahali pa ibada ya Waislamu nchini Ghana ambao ulijengwa karne ya 15 Miladia.
Habari ID: 3477361    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30

Msikiti wa Asma al-Hasani wenye makao 99 katika mji wa bandari wa Makassar wenye kuba nyingi na nyuma  ni mojawapo ya vivutio vya utalii na vivutio vya Indonesia, Vinavutia   dunia nzima.
Habari ID: 3477179    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/22

Waislamu Australia
Baraza la Jiji la Wagga Wagga katika eneo l New South Wales Riverina nchini Australia limetoa idhini kwa jamii ya Waislamu kujenga msikiti wao wa kwanza ambao utajumuisha ukumbi wa maombi wenye uwezo wa kuchukua watu 100.
Habari ID: 3477124    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09

Turathi
TEHRAN (IQNA) – Msikiti nchini Qatar wenye mnara wa kipekee unaoegemea unazidi kuzingatiwa mtandaoni na kuwa kivutio cha watalii.
Habari ID: 3477075    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/31

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hujuma na shambulio la kinyama la vikosi vya utawala ghasibu vya Kizayuni dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa katika ibada ya itikafu katika msikiti wa Al-Aqsa kwa mara nyingine imeweka bayana sura ya kinyama na kikatili ya utawala huo na ukiukaji wa haki za binadamu.
Habari ID: 3476814    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/05

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Tukio la kuchangisha fedha kusaidia kujenga msikiti mpya wa Blackburn nchini Uingereza limefanikiwa sana baada ya wafadhili kuahidi kwa ukarimu £126,000 kusaidia mradi huo.
Habari ID: 3476687    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/10

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu katika eneo la Cambridge nchini Kanada (Canada) wanasema wameingiwa na hofu tangu msikiti wao ulipohujumiwa na kuharibiwa wiki iliyopita.
Habari ID: 3476653    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03

Waislamu India
TEHRAN (IQNA) – Mamlaka za India zimebomoa msikiti wa karne ya 16 huko Uttar Pradesh kama sehemu ya mradi wa kupanua barabara.
Habari ID: 3476418    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Mhalifu anayeaminika kuwa mwenye chuki dhidi ya Uislamu amehujumu Kituo cha Kiislamu cha Tracy na Msikiti wa Tracy katika jimbo la California la Marekani mkesha wa mwaka mpya.
Habari ID: 3476361    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/05

Michezo na Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Nyota wa soka wa Norway Erling Haaland amesambaza picha za Msikiti Mkuu wa Sheikh Zayed huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na kuzua gumzo uvumi kuhusu dini yake.
Habari ID: 3476239    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12

TEHRAN (IQNA) – Watu wenye silaha wameshambulia msikiti mmoja kusini mwa Nigeria siku ya Ijumaa wakijaribu kumteka nyara imamu bila kufanikiwa ambapo waliwafyatulia risasi na kwuajeruhi waumini kumi na mmoja.
Habari ID: 3476192    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/03

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi kutoka shule ya Darwen walitembelea Msikiti wa Madina mjini Blackburn Uingereza ili kujua zaidi kuhusu Uislamu na maisha ya kila siku ya Waislamu.
Habari ID: 3476183    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/02

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) – Msikiti Mkuu wa Katara (Msikiti wa Bluu) ni miongoni mwa vivutio vingi katika Kijiji cha Utamaduni cha Katara huko Doha, Qatar, ambacho sasa ni kivutio kikuu kwa watalii wakati wa Kombe la Dunia nchini humo.
Habari ID: 3476165    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

Waislamu na Uislamu Malaysia
KUALA LUMPUR (IQNA) – Ukiwa na rangi ya kipekee ya waridi na usanifu majengo wa aina yake, Msikiti wa Putra unapatikana katika mji mkuu wa Malaysia,Kuala Lumpur.
Habari ID: 3476107    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Uislamu nchini Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa utafiti, chuki dhidi ya wageni na chuki dhidi ya Waislamu imekuwa ikiongezeka kwa kasi mashariki mwa Ujerumani.
Habari ID: 3476064    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) - Kulingana na maafisa wa Msikiti wa Cambridge nchini Uingereza watu 86 wametamka shahada mbili (au tamko la imani ya Kiislamu) katika kituo hicho tangu Januari.
Habari ID: 3476033    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04