iqna

IQNA

qurani tukufu
Nidhamu Katika Qur'ani / 3
IQNA – Baadhi ya mafundisho ya Qur'ani kama vile yale kuhusu kudhibi Mwenyezi Mungu mambo yote na matukio yanayotokea maishani hutusaidia kudhibiti na kurekebisha hisia na hisia zetu.
Habari ID: 3478708    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/20

Mafundisho ya Kiislamu
IQNA - Kituo cha Darul Iftaa cha Misri kimetoa Fatwa milioni 1.5 mshauri wa Mufti Mkuu wa nchi hiyo alisema.
Habari ID: 3478693    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/17

Nidhamu katika Qur'ani /2
IQNA – Mafundisho ya Qur’ani Tukufu yanatupa miongozo na kutoa kielelezo cha nidhamu ya kihisia, kutusaidia kuzuia kuathiriwa na mihemko katika hali tofauti.
Habari ID: 3478692    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Seyed Mohammad Hosseinipour hivi karibuni alisoma aya za Surah At-Taghabun katika Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478690    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

Ahadi ya Kweli
IQNA - Msururu wa vikao vha kusoma  Qur'ani Tukufu ambavyo vimepewa jina la "Ahadi ya Kweli" vinafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3478689    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/16

Nidhamu katika Qur'ani /1
IQNA – Qur’ani Tukufu, pamoja na kuangazia mpangilio katika uumbaji wa ulimwengu wa asili, inawaalika wanadamu kwenye mfululizo wa maadili, tabia na maelekezo ambayo huleta utaratibu na nidhamu.
Habari ID: 3478684    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Mashindano ya Qur'ani Algeria
IQNA - Rais wa Algeria ameamuru kuongezwa kwa zawadi za fedha zinazotolewa kwa washindi wa mashindano ya Qur'ani nchini humo.
Habari ID: 3478682    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Qur'ani Tukufu
IQNA - Mtafiti wa Guinea-Bissau anasema mbinu ya kusimulia hadithi imetumika katika Qur'an na inaweza kueneza mafundisho ya Kiislamu kwa ufanisi.
Habari ID: 3478680    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Muiraqi
IQNA - Norway imekataa ombi la hifadhi la Salwan Momika, mkimbizi kutoka Iraq ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa nchini Uswidi katika miezi iliyopita. Ripoti za awali zilieleza kuwa Momika alifariki akiwa Norway lakini imebainika kuwa ripoti hizo hazikuwa sahihi.
Habari ID: 3478679    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Qiraa ya Qur'ani
IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
Habari ID: 3478678    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/13

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 30 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478665    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Harakati za Qur'ani
IQNA –Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) nchini Iraq imeandaa mkusanyiko wa qiraa ya Qur'ani Tukufu nchini Senegal kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478664    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10

Qur'ani na Palestina
IQNA - Programu khitma ya Qur'ani zilifanyika Jumatatu katika shule zaidi ya 20,000 nchini Iran na nchi kadhaa duaniani kuwakumbuka mashahidi mabarobaro Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478660    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478657    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/09

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478655    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08

Ramadhani
IQNA - Qari wa Iran Ustadh Hamed Shakernejad na Qari wa Kuwait Sheikh Abdullah Abul Hassan wamesoma Qur'ani kwa mtindo wa Munafisah katika kipindi maarufu cha televisheni cha Qur'ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel.
Habari ID: 3478651    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08

Qur'ani Tukufu
IQNA - Kundi la wahifadhi na wasomaji Qur'ani wamehitimu kozi ya Qur'ani iliyofanyika katika kambi moja ya wakimbizi huko Gaza.
Habari ID: 3478650    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/08

Mwezi wa Ramadhani
IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 27 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
Habari ID: 3478643    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa  mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara 2024 walitunukiwa katika hafla iliyofanyika Doha, Qatar, Ijumaa.
Habari ID: 3478642    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Harakati za Qur'ani
IQNA - Taasisi moja ya Kiislamu nchini  Iran imetangaza kuwa imekamilisha tafsiri ya Kiswidi ya Qur'ani Tukufu katika hatua ya "kupambana na ujahilia" au ujingakufuatia matukio kadhaa ya kuvunjiwa heshima Qur'ani nchini humo mwaka jana.
Habari ID: 3478639    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/06