iqna

IQNA

rouhani
Rais Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran ameashiria pia kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Bahrain na utawala haramu wa Israel na kusema kuwa, watawala wa baadhi ya mataifa ya Kiarabu katika Asia Magharibi hawafungamani na malengo ya taifa madhulumu la Palestina.
Habari ID: 3473176    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/16

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Rais wa Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa ufaransa akisema kuwa Marekani daima imekuwa ikifanya jitihada za kuua mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa: Ulaya haipasi kukubali kuburutwa na Marekani na kutumbukia katika mtego wake.
Habari ID: 3473063    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika ujumbe wa Idi
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono na kheri na fanaka na kuwapongeza viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa Sikukuu hii kubwa ya Idul Adh'ha.
Habari ID: 3473016    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Rais wa Russia
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Rais Vladimir Putin wa Russia ameyahimiza mataifa ya dunia kusimama pamoja kukabiliana na ubabe wa Marekani wa kuchukua maamuzi ya upande mmoja.
Habari ID: 3472969    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16

TEHRAN (IQNA) – Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jukumu la kidini kwa kila mtu kutangaza iwapo ameambukizwa kirusi cha corona (COVID-19) ili kuzuia maambukizi kwa wengine.
Habari ID: 3472929    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/04

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameielezea Siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa hii leo kote duniani kama utamaduni mzuri na nembo ya uvumilivu, umoja na mshikamano wa Waislamu katika kuhami na kutetea thamani za Kiislamu.
Habari ID: 3472790    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/22

Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Siku ya Kimataifa ya Quds itaadhimishwa nchini Iran na pia Swala ya Idul FItr itaswaliwa kwa kuzingatia kanuni za afya kuhusiana na ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472770    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/16

TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ameashiria vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusema: Madaktari na wananchi wa Iran daima wamekuwa wakifanya mambo yanayolipa fahari taifa hili na sasa wanapata mafanikio katika kupambana na ugonjwa wa COVID-19 au corona na kusimamia vyema masuala ya nchi.
Habari ID: 3472614    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/29

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ili kukabiliana ugonjwa wa COVID-19 au corona, ni lazima kutekelezwa kikamilifu na kwa uangalifu mpango wa 'kutokaribiana watu' (social distancing) nchini Iran.
Habari ID: 3472609    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/28

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa la Iran havina faida kwa maadui na kuongeza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu imevuka vikwazo vya kiwango cha juu vya Marekani.
Habari ID: 3472478    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja 'Muamala wa Karne' kama mpango wa Marekani wa kufedhehesha, aibu na wenye kuchukiza.
Habari ID: 3472432    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/02

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inafuata njia isiyo sahihi kuhusu taifa la Iran. Ameongeza kuwa, taifa la Iran limezidi kuwa na nguvu na limekuwa imara zaidi mbele ya njama na vikwazo vya Marekani.
Habari ID: 3472378    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/16

Rais Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kosa la kibinadamu lililotokana na vitisho vya Marekani vya kushambulia maeneo nyeti nchini Iran ndiyo sababu ya kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine karibu na Tehran.
Habari ID: 3472361    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/11

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa anataraji kwamba Wamarekani watahitimisha hatua zao ghalati, lakini iwapo watatekeleza hatua nyingine iliyo dhidi ya maslahi ya Iran, basi watapata jibu kali mkabala.
Habari ID: 3472359    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/10

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa pongezi marais na viongozi na mataifa ya Wakristo kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa Miladia wa 2020.
Habari ID: 3472323    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za kueleka mashariki na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi na nchi muhimu za bara Asia ni miongoni mwa malengo ya siku zote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472284    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko mstari wa mbele katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika kuwatetea watu wa Palestina.
Habari ID: 3472215    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/14

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha kuwa Palestina na Quds ni nembo ya mapambano ya Waislamu wote na kuongeza kuwa Israel ni nembo ya wavamizi ulimwenguni wanaotaka kuwadhulumu Waislamu.
Habari ID: 3471976    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/29

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3471559    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei ameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa yenye umuhimu mkubwa.
Habari ID: 3471030    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/22