IQNA

Istighfar Katika Qur’ani Tukufu/8

Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

IQNA – Athari za Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) hazihusiani tu na kusamehewa dhambi, bali pia huondoa vizuizi vinavyokwamisha baraka na...

Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.

IQNA – Hafla maalumu imefanyika Gaza kuadhimisha mahafali ya wanafunzi kadhaa wa kike waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.

Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

IQNA – Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran ametangaza jina la mwenyekiti wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran, pamoja...
Habari Maalumu
Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
30 Dec 2025, 14:01
Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

IQNA – Kadri maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS) yanavyokaribia, bendera ya haram ya Imam huyo wa kwanza imebadilishwa katika hafla maalumu Jumapili.
29 Dec 2025, 13:23
Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

IQNA – Zohran Mamdani ataapishwa kuwa meya wa 110 wa Jiji la New York wiki hii, ambapo ataweka historia kwa kuwa Mwislamu wa kwanza kuliongoza jiji kubwa...
29 Dec 2025, 13:17
Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

IQNA – Kampuni zinazobobea katika huduma za chakula kwa wingi zinakaribishwa kuomba nafasi ya heshima ya kutoa futari katika Msikiti Mtukufu wa Makkah...
29 Dec 2025, 13:09
Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
29 Dec 2025, 12:59
Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

IQNA- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya kukabiliana mfumo...
28 Dec 2025, 15:21
Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa”  Misri katika hatua ya Mwisho

Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa” Misri katika hatua ya Mwisho

IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa...
28 Dec 2025, 15:56
Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani...
28 Dec 2025, 15:50
Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
28 Dec 2025, 15:39
Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

IQNA – Uwanja wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, leo tarehe 28 Disemba 2025 umeshuhudia hafla ya kupandisha bendera maalum.
28 Dec 2025, 15:44
2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

IQNA – Kuanzia unyanyasaji wa mtandaoni hadi mashambulizi ya umati na sera za kibaguzi, mwaka 2025 uliweka bayana hali ya kutisha kwa Waislamu walio wachache...
28 Dec 2025, 15:34
Tabia ya Watu wa Peponi Duniani
Istighfar katika Qur’an Tukufu / 7

Tabia ya Watu wa Peponi Duniani

IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada...
27 Dec 2025, 20:06
Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

IQNA – Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ISESCO) limepokea nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono wa Abu...
27 Dec 2025, 19:49
Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

IQNA – Sherehe imefanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Al-Shati, magharibi mwa Gaza, kuadhimisha wanaume na wanawake 500 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani...
27 Dec 2025, 19:33
Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cajon kilichoko Sao Paulo, mji mkuu wa kiuchumi wa Brazil, kimeandaa kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto.
27 Dec 2025, 19:14
Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

Washiriki 170 katika hatua ya kwanza ya Mashindano ya Qur’an Tukufu Oman

IQNA – Takriban washiriki 170 wameingia katika hatua ya mwanzo ya mashindano ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’an Tukufu nchini Oman.
27 Dec 2025, 18:49
Picha‎ - Filamu‎