IQNA

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi...

Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

IQNA – Jukwaa la Kielimu la Qur’ani Tukufu, linalohusiana na Astan (uwakilishi wa ulinzi na usimamizi) wa Haram ya Hazrat Abbas (AS), linaandaa programu...

Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.

Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

IQNA – Mwanamke mchanga Muislamu aliyevaa hijaab ameshambuliwa na kutishiwa maisha ndani ya basi la jiji la Ottawa, Canada eneo la Kanata, katika tukio...
Habari Maalumu
Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

IQNA – Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen yametangaza rasmi mwaliko wa ushiriki katika nyanja mbalimbali za sanaa na fasihi.
13 Aug 2025, 23:21
Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema...
13 Aug 2025, 00:01
Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashirika 14 ya Kiislamu nchini Uholanzi yamewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwanasiasa wa mrengo mkali wa kulia na anayepinga Uislamu, Geert...
12 Aug 2025, 23:52
Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Ayatullah Ali al-Sistani amewataka wafanyaziyara wa Arbaeen kudumisha swala kwa wakati, ikhlasi ya moyo na na mavazi ya heshima na yenye staha katika...
12 Aug 2025, 23:40
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah 2025: Siku ya Tatu Yawaleta Washiriki 18

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah 2025: Siku ya Tatu Yawaleta Washiriki 18

IQNA – Toleo la 45 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani linaloendelea mjini Makkah limeendelea Jumatatu katika Msikiti Mtukufu (Masjid al Haram), likishuhudia...
12 Aug 2025, 23:20
Kusoma Qur’ani Kwenye Njia ya Arbaeen ‘Hakuna Mfano Wake,’ Asema Qari

Kusoma Qur’ani Kwenye Njia ya Arbaeen ‘Hakuna Mfano Wake,’ Asema Qari

IQNA – Qari kutoka Iran, Hamidreza Amadi-Vafa, amesema kuwa kusoma Qur’ani katika njia ya kutoka Najaf hadi Karbala wakati wa Arbaeen hujenga mazingira...
12 Aug 2025, 23:09
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah...
11 Aug 2025, 23:59
Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa India amewahimiza maimamu wa misikiti mbalimbali nchini humo kuandaa dua maalumu na saumu kwa nia ya kuwasaidia Waislamu wa Gaza.
11 Aug 2025, 23:47
Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

IQNA – Jukwaa la kielimu la Qur’ani kwa ajili ya wasiozungumza Kiarabu linazinduliwa nchini Saudi Arabia.
11 Aug 2025, 23:32
Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

IQNA – Siku ya pili ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma kwa Tajwidi na Kufasiri Qur’ani Tukufu ilishuhudia washiriki...
11 Aug 2025, 23:27
Dada Watatu wa Kipalestina wahihifadhi Qur’ani Tukufu Katikati ya Vita, Njaa na Ukimbizi

Dada Watatu wa Kipalestina wahihifadhi Qur’ani Tukufu Katikati ya Vita, Njaa na Ukimbizi

IQNA – Katika Ukanda wa Gaza uliokumbwa na vita, dada watatu wa Kipalestina wamekamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote, licha ya kuvumilia mashambulizi...
11 Aug 2025, 23:21
Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

Maonyesho ya Sanaa ya Qur’ani Yafunguliwa Karbala wakati wa mjumuiko wa Arbaeen

IQNA – Maonyesho ya sanaa yenye maudhui ya Qur’ani yameandaliwa kando ya njia ya Ziyara ya Arbaeen ili kuonesha thamani za harakati ya Imam Hussein (AS)...
10 Aug 2025, 23:53
MO Salah wa Liverpool akosoa  msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

MO Salah wa Liverpool akosoa msimamo wa UEFA kuhusu Israel kumuua Pele wa Palestina'

IQNA-Mshambuliaji wa timu ya soka ya Liverpool, Mohamed Salah amekosoa hatua ya Muungano wa Vyama vya Soka vya Ulaya UEFA ya kumuenzi Suleiman Al-Obeid,...
10 Aug 2025, 23:46
Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

Mwanazuoni afungamanisha matembezi ya Arbaeen na misingi ya ustaarabu wa Kiislamu

IQNA – Mwanazuoni mmoja kutoka Iran amesema kuwa matembezi Arbaeen yanabeba kanuni muhimu ambazo zinaweza kusaidia kuweka msingi wa kustawishwa upya kwa...
10 Aug 2025, 23:39
 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

 Bingwa wa Malaysia asema amejifunza kutoka Mashaikh wa Qiraa’ah Ulimwenguni

IQNA – Qari bora wa kiume wa Malaysia katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani mwaka huu nchini humo amesema kuwa kujifunza kutoka kwa mashaikh wa qiraa’ah...
10 Aug 2025, 23:32
Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya  Qur'ani ya Malaysia watangazwa

Washindi wa Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Malaysia watangazwa

IQNA – Wawakilishi wawili kutoka Malaysia wametwaa ubingwa katika Mashindano ya 65 ya Kimataifa ya Kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu ya Malaysia (MTHQA)...
10 Aug 2025, 08:45
Picha‎ - Filamu‎