IQNA

Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya  Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua...

Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

IQNA – Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sistani, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza shughuli za hisani kwa moyo wa...

Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

IQNA – Maandalizi ya maadhimisho a kumbukumbu ya kufa shahidi Imam Jawad (AS) katika mji mtakatifu wa Kadhimiya yalipitiwa upya katika mkutano wa hivi...
Habari Maalumu
Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha  Qur’ani yafanyika Damascus

Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha Qur’ani yafanyika Damascus

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi...
23 May 2025, 18:09
Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu...
22 May 2025, 12:21
Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa...
22 May 2025, 10:03
Watu wenye uwezo wanawajibika mbele ya Mwenyezi Mungu kuhusu Hija
Hija katika Qur'ani /1

Watu wenye uwezo wanawajibika mbele ya Mwenyezi Mungu kuhusu Hija

IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya...
21 May 2025, 15:44
Kosovo: Aliyevunjia heshima  Qur'ani Tukufu Kosovo ashtakiwa

Kosovo: Aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu Kosovo ashtakiwa

IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
21 May 2025, 15:37
Sweden yashinda Tuzo Kuu Katika Mashindano ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani

Sweden yashinda Tuzo Kuu Katika Mashindano ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani

IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani kwa washiriki wa umri mkubwa limehitimishwa mjini Rijeka, Croatia, ambapo...
21 May 2025, 15:32
Waislamu Ufaransa  wataka Palestina itambuliwe kama nchi, uhusiano na Israel ukatwe

Waislamu Ufaransa wataka Palestina itambuliwe kama nchi, uhusiano na Israel ukatwe

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao...
21 May 2025, 15:27
Wizara ya Wakfu ya Misri kuandikisha watoto milioni moja kuhifadhi Qur'ani

Wizara ya Wakfu ya Misri kuandikisha watoto milioni moja kuhifadhi Qur'ani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
21 May 2025, 15:08
Kiongozi Muadhamu apongeza unyenyekevu na huduma za Shahidi Rais Raisi

Kiongozi Muadhamu apongeza unyenyekevu na huduma za Shahidi Rais Raisi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemsifu Shahidi Rais Ebrahim Raisi kama mtumishi wa umma aliyejitolea, ambaye unyenyekevu wake na kujituma...
20 May 2025, 22:30
Sherehe zafanyika Mauritania kuwaenzi wahifadhi wa Qur'ani

Sherehe zafanyika Mauritania kuwaenzi wahifadhi wa Qur'ani

IQNA – Kundi la watu waliokamilisha kuhifadhi Qur'anI Tukufu kikamilifu wameenziwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott.
20 May 2025, 21:59
Semina ya Al-Azhar yajadili uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani

Semina ya Al-Azhar yajadili uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani

IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.  
20 May 2025, 21:49
Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

IQNA – Wanachama wa timu ya kitaifa ya vijana wa Iran wanaosoma Quran kwa pamoja katika usomaji wa aya 47 hadi 49 kutoka Surah Adh-Dhariyat, wakati wa...
20 May 2025, 21:17
UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

IQNA-Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limeripoti kwamba zaidi ya Wapalestina 97,000 wamehamishwa Gaza katika kipindi cha siku nne pekee, huku mashambulizi...
20 May 2025, 21:12
Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja...
19 May 2025, 17:38
Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi...
19 May 2025, 17:23
Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka...
19 May 2025, 17:17
Picha‎ - Filamu‎