Habari Maalumu
IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi...
23 May 2025, 18:09
IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu...
22 May 2025, 12:21
IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa...
22 May 2025, 10:03
Hija katika Qur'ani /1
IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya...
21 May 2025, 15:44
IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
21 May 2025, 15:37
IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani kwa washiriki wa umri mkubwa limehitimishwa mjini Rijeka, Croatia, ambapo...
21 May 2025, 15:32
IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao...
21 May 2025, 15:27
IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
21 May 2025, 15:08
IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemsifu Shahidi Rais Ebrahim Raisi kama mtumishi wa umma aliyejitolea, ambaye unyenyekevu wake na kujituma...
20 May 2025, 22:30
IQNA – Kundi la watu waliokamilisha kuhifadhi Qur'anI Tukufu kikamilifu wameenziwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott.
20 May 2025, 21:59
IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.
20 May 2025, 21:49
IQNA – Wanachama wa timu ya kitaifa ya vijana wa Iran wanaosoma Quran kwa pamoja katika usomaji wa aya 47 hadi 49 kutoka Surah Adh-Dhariyat, wakati wa...
20 May 2025, 21:17
IQNA-Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limeripoti kwamba zaidi ya Wapalestina 97,000 wamehamishwa Gaza katika kipindi cha siku nne pekee, huku mashambulizi...
20 May 2025, 21:12
IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja...
19 May 2025, 17:38
IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi...
19 May 2025, 17:23
IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka...
19 May 2025, 17:17