Habari Maalumu
TEHRAN (IQNA) - Akhtar Zaman amechaguliwa kama meya mpya wa mji wa Bolton nchini Uingereza, na kuwa Muislamu wa kwanza anayechukua nafasi hiyo.
23 May 2022, 22:10
TEHRAN (IQNA)-Rais wa Misri Abdel Fattah El-Sisi ametoa wito kwa maafisa wa nchi hiyo kuchukua somo kutoka aliyoyasema Nabii Yusuf AS katika Qur’ani Tukufu...
23 May 2022, 22:48
TEHRAN (IQNA)- Mfawidhi Haram Takatifu ya Imam Ridha AS mjini Mashhad anasema umoja kati ya Waislamu na Wahindu ulikuwa muhimu katika kuwashinda wakoloni,...
23 May 2022, 21:44
TEHRAN (IQNA)-Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema maadui wa mfumo mtakatifu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena wamedhihirisha...
23 May 2022, 11:42
TEHRAN (IQNA)- Wakati Mwenyezi Mungu SWT alipomuumba mwanadamu, alimfanya kuwa Khalifa au msaidizi wake katika ardhi.
22 May 2022, 14:15
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la masuala ya uchumi wa Kiislamu limetangaza kuzindua Metaverse ya kwanza ya Kiislamu ambayo inaenda sambamba na mafundisho...
22 May 2022, 15:56
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Bunge la Misri ameulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutekeleza "njama mbovu" za kuangamiza utambulisho wa Kiarabu na Kiislamu...
22 May 2022, 14:52
TEHRAN (IQNA)-Mvulana Mmisri mwenye umri wa miaka 9 ana kipaji cha kipekee cha kusoma Qur'ani Tukufu kiasi kwamba sasa amepewa lakabu ya 'Abdul Basit Mdogo".
22 May 2022, 13:23
Waislamu India
TEHRAN (IQNA) - Magenge ya Wahindu wenye msimamo mkali vinalenga kubomoa misikiti kote nchini India na sasa wanalenga jengo la kihistoria la Waislamu maarufu...
21 May 2022, 23:20
Uislamu duniani
TEHRAN (IQNA)- Mwezi wa Kimataifa wa Historia ya Waislamu ni mpango wa kila mwaka unaoadhimisha mafanikio ya Waislamu katika historia na kukabiliana na...
21 May 2022, 22:23
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA)- Paundi milioni 24.5 zimetengwa kwa ajili ya usalama katika maeneo ya ibada na shule nchini Uingereza.
21 May 2022, 21:35
Ukandamizaji
TEHRAN (IQNA)- Mahakama ya Juu ya Saudia imeendeleza sera za kuwaua Waislamu wa madhehebu ya Shia kwa kuidhinisha hukumu ya kuwanyonga vijana wawili raia...
21 May 2022, 22:39
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amehutubu kwa munasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi Sayyid Mustafa...
20 May 2022, 22:26
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) pamoja na kuwa...
20 May 2022, 21:49
Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameashiria mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel...
20 May 2022, 21:13
Makamu wa Rais wa Iran
TEHRAN (IQNA)- Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na inaipa kipaumbele sera za kuimarisha uhusiano...
20 May 2022, 22:33