IQNA

Assma Ali avunja mwiko: Awa mwanamke wa kwanza Mwislamu kuwa jaji Mississippi, akabili wimbi la ubaguzi

IQNA – Katika kitovu cha eneo la Mississippi Delta, mwanamke Mwislamu amekalia kiti cha mahakama ya manispaa akiwa na jina la kihistoria na wimbi la barua...

Wanawake wa Bosnia wenye Mafanikio ya Kielimu na ya Kuhifadhi Qur’ani

IQNA – Kundi la wanawake vijana wa Kiislamu katika Kitivo cha Tiba cha Chuo Kikuu cha Sarajevo limekuwa ishara ya muunganiko kati ya utambulisho wa kidini...

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani yashinikizwa kulaani hatua ya Ufaransa kufunga msikiti kufuatia kisomo cha Qur’ani

IQNA – Marekani inapaswa kulaani hatua ya Ufaransa ya kufunga msikiti mmoja nchini humo, hatua ambayo inaripotiwa kuchochewa na kisomo cha aya za Qur’ani...

Makumbusho ya Waislamu wa Kitatar kuzinduliwa nchini Poland

IQNA – Makumbusho yaliyojitolea kuhifadhi historia na utamaduni wa Waislamu wa Kitatar yanatarajiwa kuzinduliwa nchini Poland.
Habari Maalumu
Rais wa IUMS aangazia maisha ya Qur’ani ya mwanazuoni wa Algeria, Sheikh Mohamed Said Kaabash
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun

Rais wa IUMS aangazia maisha ya Qur’ani ya mwanazuoni wa Algeria, Sheikh Mohamed Said Kaabash

IQNA – Rais wa Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) ametoa rambirambi zake kwa watu wa Algeria na Ummah ya Kiislamu kufuatia kuaga dunia...
10 Aug 2026, 15:20
Makumbusho ya Makka yanaonesha Mushaf wa karne ya 18

Makumbusho ya Makka yanaonesha Mushaf wa karne ya 18

IQNA – Nakala ya Qur’ani ya karne ya 18 ni miongoni mwa vitu vinavyoonyeshwa katika Makumbusho ya Qur’ani Tukufu ndani ya Eneo la Utamaduni la Hira huko...
10 Aug 2026, 15:12
Qari kijana nchini Misri ana ndoto ya  kuwa Abdul Basit mwingine

Qari kijana nchini Misri ana ndoto ya kuwa Abdul Basit mwingine

IQNA – Yousef, kijana kutoka Bahira nchini Misri, amewavutia wengi kwa sauti yake ya usomaji Qur’ani Tukufu na ameendeleza kipawa chake kwa kusikiliza...
10 Aug 2026, 15:07
Ushindi wa Imani: Kijana Hafidh mwenye ulemavu wa macho kutoka Bangladesh katika Mashindano ya Qur’ani Makka

Ushindi wa Imani: Kijana Hafidh mwenye ulemavu wa macho kutoka Bangladesh katika Mashindano ya Qur’ani Makka

IQNA – Katika kile kinachothibitisha kuwa nuru ya Qur’ani Tukufu haina mipaka, Mahmoud Hassan Ashrafi, kijana mwenye umri wa miaka 18 kutoka Bangladesh...
10 Aug 2026, 15:01
Toleo la Tatu la Programu ya ‘Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti’ Sharjah

Toleo la Tatu la Programu ya ‘Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti’ Sharjah

IQNA – Toleo la tatu la programu ya “Nyoyo Zilizoshikamana na Misikiti” (Hearts Attached to Mosques) limepangwa kuzinduliwa huko Sharjah katika Umoja wa...
10 Aug 2026, 14:53
Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

Ashura imebadilika kutoka tukio la Kihistoria na Kuwa Dhihirisho la Kistaarabu: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa harakati ya Imam Hussein (AS) si tukio la kihistoria na kidini tu, bali ni madrasa ya maisha na nyaraka...
09 Aug 2026, 16:10
Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil

Misikiti: Vituo vya Elimu ya Qur’an nchini Brazil

IQNA – Kupokea vijana Waislamu na kuwapatia programu za kidini na Qur’ani huifanya misikiti nchini Brazil kuimarisha hali yao ya kiroho, huku pia ikilea...
09 Aug 2026, 16:16
Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini

Msikiti ulioko Ufaransa wafungwa, wakili aonya hatari kwa uhuru wa dini

IQNA – Wakili anayewakilisha msikiti mmoja nchini Ufaransa amekosoa vikali uamuzi wa kuufunga kwa miezi sita, akisema hatua hiyo ni pigo kwa uhuru wa dini...
09 Aug 2026, 16:02
Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka

Vijana wasomaji Qur’an washindania nafasi za juu katika Mashindano ya 46 ya Kimataifa ya Qur’an Makka

IQNA – Kumbi za mashindano jijini Makka zilisikika zikirindima kwa sauti za kuvutia za usomaji wa aya tukufu za Qur’an siku ya Jumamosi, huku washiriki...
09 Aug 2026, 15:53
Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3

Ripoti: Waislamu 25 wauawa katika uhalifu wa Chuki Dhidi ya Uislamu India katika miezi 3

IQNA – Waislamu ishirini na tano waliuawa nchini India kati ya Mei na Julai 2026, ambapo vifo 15 vilihusishwa na wahusika wa dola na vifo 10 na wahusika...
08 Aug 2026, 17:41
Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq

Maelfu ya Mazuwar wanufaika na Vituo vya Qur’ani wakati wa Arbaeen nchini Iraq

IQNA – Kituo cha Dar-ol-Quran cha Atabat au Mfawidhi wa haram takatifu ya Imam Hussein (AS) kimekamilisha mradi wa vituo vya Qur’ani kwa ajili ya matembezi...
08 Aug 2026, 17:36
Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala

Kongamano la 10 la Kimataifa la Arbaeen lafanyika Karbala

IQNA – Toleo la 10 la Kongamano la Kimataifa la Kitaalamu kuhusu Ziyara ya Arbaeen limeandaliwa katika Haram takatifu ya Imam Hussein (AS) iliyoko mjini...
08 Aug 2026, 17:28
Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan

Kauli ya afisa wa Yemen kufuatia Mkataba wa Ulinzi wa Saudi Arabia, Uturuki na Pakistan

IQNA – Mwenyekiti wa Baraza la Juu la Kisiasa la Yemen amerejelea mkataba wa ulinzi wa pamoja kati ya Pakistan, Uturuki, na Saudi Arabia, akisema kuwa...
08 Aug 2026, 17:14
Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka

Mshukiwa wa kitendo cha kuchoma Msikiti mjini Philadelphia afunguliwa mashtaka

IQNA – Moto ulikuwa haujazimika vyema katika Jumuiya ya Kiislamu ya Al-Aqsa, iliyoko kaskazini-mashariki mwa Philadelphia, Marekani mwezi uliopita, wakati...
08 Aug 2026, 17:09
Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee

Msichana wa Iraq aihifadhi Qur’ani Tukufu katika Siku 43 Pekee

IQNA – Msichana mmoja wa shule ya upili nchini Iraq amefikia hatua ya kipekee na ya kusifiwa kwa kuhifadhi Qur’ani Tukufu nzima katika kipindi cha siku...
07 Aug 2026, 09:39
Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani

Vyombo vya habari vya Israel vyatoa tahadhari kuhusu ugombea wa Abdul El-Sayed Seneti Marekani

IQNA – Vyombo vya habari vya Israel vimeonyesha wasiwasi kufuatia ushindi wa daktari Mmisri-Mmarekani, Abdul El-Sayed, katika kura za mchujo za Chama cha...
07 Aug 2026, 09:31
Picha‎ - Filamu‎