IQNA

Jinai za Israel dhidi ya watoto wa Gaza yaangaziwa Siku ya Watoto Duniani

IQNA – Katika Siku ya Watoto Duniani, inayokumbusha kupitishwa kwa Mkataba wa Haki za Mtoto mnamo Novemba 20, 1989, watetezi wa Palestina na baadhi ya...

Florida: Wanafunzi Waislamu wasumbuliwa wakati wa sala ya Alfajiri

IQNA – Wanafunzi Waislamu katika Chuo Kikuu cha Florida Kusini (USF) nchini Marekani wamesema wanaume watatu walivuruga mkusanyiko wao wa sala ya alfajiri...

Kamati ya Katiba ya Ureno yatupilia mbali pendekezo la marufuku ya ufadhili wa misikiti

IQNA – Kamati ya Masuala ya Katiba ya Ureno imeamua kuwa pendekezo la kuzuia ufadhili wa umma kwa ujenzi wa misikiti halina msingi wa kikatiba.

Baraza la Waislamu Ufaransa Lawakemea Watafiti kwa Kuchochea Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Baraza la Imani ya Kiislamu Ufaransa (CFCM) limepinga vikali utafiti mpya wa taasisi ya Ifop, likisema utafiti huo unachochea unyanyapaa na kuendeleza...
Habari Maalumu
Shiraz ni mwenyeji wa Mkutano wa 7 wa Kimataifa Kuhusu Sira ya Mtume (SAW) katika Tiba

Shiraz ni mwenyeji wa Mkutano wa 7 wa Kimataifa Kuhusu Sira ya Mtume (SAW) katika Tiba

IQNA – Mkutano wa 7 wa Kimataifa kuhusu Sira (Maisha na Mwenendo) wa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) katika nyanja ya tiba umeanza siku ya Jumatano katika...
20 Nov 2025, 14:34
Mashindano ya  Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kigeni wa Al-Azhar yapongezwa

Mashindano ya Qur’ani kwa Wanafunzi wa Kigeni wa Al-Azhar yapongezwa

IQNA – Jumuiya ya Kimataifa ya Wahitimu wa Al-Azhar imeandaa mashindano ya usomaji wa Qur’an ya “Sauti Njema” nchini Misri, tukio lililopokelewa kwa furaha...
20 Nov 2025, 14:22
Mtaalamu wa Qur’an asema wanaoibua mitindo ya qiraa wawe na uzoefu miaka 15

Mtaalamu wa Qur’an asema wanaoibua mitindo ya qiraa wawe na uzoefu miaka 15

IQNA – Mtaalamu mashuhuri wa Qur’an amesema kuwa wanafunzi wa usomaji wa Qur’an wanapaswa kutumia angalau miaka 15 kuiga na kuumudu mitindo ya wasomaji...
20 Nov 2025, 14:15
Waziri Mkuu wa Uingereza aapa kupambana na Chuki Dhidi ya Waislamu

Waziri Mkuu wa Uingereza aapa kupambana na Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA-Katika kikao cha maswali ya kila wiki bungeni, Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer alitangaza kuwa chuki dhidi ya Waislamu ni jambo la kuchukiza...
20 Nov 2025, 14:03
Mwanamke Mmisri ahifadhi Qur’an nzima akiwa na miaka 80

Mwanamke Mmisri ahifadhi Qur’an nzima akiwa na miaka 80

IQNA – Mwanamke kutoka mji wa Qena, Misri, ameweza kuhifadhi Qur’an Tukufu kikamilifu akiwa na umri wa miaka 80, licha ya kutokuwa na elimu ya kusoma na...
19 Nov 2025, 20:32
Sharjah yafungua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu kwa Kauli mbiu ya “Taa”

Sharjah yafungua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu kwa Kauli mbiu ya “Taa”

IQNA – Sharjah imezindua Tamasha la 26 la Sanaa za Kiislamu, tukio la siku 70 linaloangazia urithi wa sanaa za Kiislamu kutoka duniani kote.
19 Nov 2025, 20:26
Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

IQNA – Waandamanaji waligongana mitaani Dearborn Jumanne baada ya wanaharakati wa mrengo wa kulia kuwachokoza wakazi kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu...
19 Nov 2025, 16:26
Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu mbinu na njia za kuhifadhi na kukarabati nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu za mwanzo imefanyika nchini Yemen.
19 Nov 2025, 16:08
Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

IQNA – Idara ya Awqaf (Wakfu) katika Mkoa wa Tafilah, Jordan, imeanzisha mradi maalumu wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa...
19 Nov 2025, 15:55
Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

IQNA – Sheikh Ekrima Sabri amesema mamlaka za Kizayuni zinapotosha dhana za Kiislamu kwa malengo ya kisiasa, wakati akikabiliwa na kesi mjini al-Quds kwa...
18 Nov 2025, 17:49
Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu / 12

Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi

IQNA – Mojawapo ya matumizi muhimu ya kanuni ya ushirikiano ni katika uwanja wa uchumi, ingawa uhusiano kati ya kanuni ya ushirikiano katika Qur’ani na...
18 Nov 2025, 17:19
Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

IQNA – Kipindi cha kwanza cha televisheni Dawlat al-Tilawa kilizinduliwa Ijumaa nchini Misri, kikiwa safari mpya ya kugundua vipaji vinavyochipukia katika...
18 Nov 2025, 17:15
Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

IQNA – Mwanafalsafa kutoka Algeria amesema jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili unaotishia familia na kupotosha ufahamu wa Kiislamu kuhusu...
18 Nov 2025, 17:09
Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

IQNA – Qari wa kimataifa kutoka Iran amesema kuwa kisomo cha mashindano mengi kina upungufu wa kina cha hisia, na ametoa rai ya kuwepo kwa viwango vya...
18 Nov 2025, 17:01
Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

IQNA – Maqari wa kike wa Qur’ani kutoka Dar-ul-Qur’an ya Astan ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) wameibuka washindi katika mashindano ya saba ya kitaifa...
17 Nov 2025, 14:42
Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

IQNA-Duru ya tatu kwa mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani nchini Nepal imeingia hatua ya mwisho, Jumapili. Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Da‘wa na Mwongozo...
17 Nov 2025, 14:37
Picha‎ - Filamu‎