IQNA

Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi wa Kituo cha Dar-ol-Qur'an cha Idara ya MfawidhiHaram Tukufu ya wa Imam Hussein (A.S).
19:37 , 2025 Oct 11
Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha eti “uhuru wa kujieleza.”
19:29 , 2025 Oct 11
Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Mwanasiasa kutoka Venezuela, Bi Maria Corina Machado, ambaye ametunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2025, ametakiwa kuomba msamaha na kujitenga na misimamo yake ya kuunga mkono ufasisti unaoeneza chuki dhidi ya Waislamu.
19:19 , 2025 Oct 11
Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu kusahaulika au kuwekwa pembeni.
18:44 , 2025 Oct 11
Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
18:19 , 2025 Oct 11
Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa

Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa

IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka miwili baada ya Operesheni kubwa ya Kimbunga cha Al-Aqswa haiba ya utawala wa Kizayuni imejaa msukosuko na mparaganyiko.
23:38 , 2025 Oct 10
Sherehe  ya Gaza ni za Wapalestin na si ya Trump

Sherehe ya Gaza ni za Wapalestin na si ya Trump

IQNA – Sherehe ya watu wa Gaza kwa ajili ya kusitishwa kwa vita ni yao pekee, si ya Donald Trump, ambaye ametangaza kuwa atatembelea eneo hilo kuchukua sifa kwa kile anachokiita “tukio la kihistoria”.
23:31 , 2025 Oct 10
Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ Kuongeza Makundi Mapya

IQNA – Baada ya kufanikisha toleo la kwanza la mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ nchini Iran, waandaaji wamepanga kuongeza makundi mapya katika tukio hili mashuhuri.
19:20 , 2025 Oct 10
Qur'ani Yatoa Misingi ya Haki, Mshikamano na Ustahimilivu wa Kijamii: Mtaalamu

Qur'ani Yatoa Misingi ya Haki, Mshikamano na Ustahimilivu wa Kijamii: Mtaalamu

IQNA – Mtaalamu wa chuo kikuu mjini Mashhad nchini Iran amesema kuwa Qur'ani inatoa mwongozo wa kivitendo na wa kimaadili kusaidia jamii kukabiliana na misukosuko kama vile vita, uhamaji, na umasikini.
19:07 , 2025 Oct 10
Msikiti wa Blackburn Wapewa Kibali cha Kujenga Jengo Jipya

Msikiti wa Blackburn Wapewa Kibali cha Kujenga Jengo Jipya

Msikiti wa Jamia Syeda Fatima Al-Zahra ulioko Bank Lane, Blackburn, ambao kwa sasa unaendesha shughuli zake ndani ya jengo la baa ya zamani, umepata kibali cha kubomoa jengo hilo na kujenga kituo kipya cha Kiislamu cha ghorofa mbili.
18:57 , 2025 Oct 10
Ayatullah Khamenei: ‘Sala Huleta Utulivu Moyoni, Nguvu kwa Nia’

Ayatullah Khamenei: ‘Sala Huleta Utulivu Moyoni, Nguvu kwa Nia’

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kiroho na kimaadili wa sala, akiitaja kuwa miongoni mwa ibada zenye maana kubwa na zinazotoa uhai katika Uislamu.
13:13 , 2025 Oct 09
Kozi ya Tatu ya Mafunzo kwa Maqari wa Kimataifa Yaendelea Iraq

Kozi ya Tatu ya Mafunzo kwa Maqari wa Kimataifa Yaendelea Iraq

IQNA – Baraza la Sayansi ya Qur’ani Tukufu linalohusiana na usimamizi wa haram ya Hazrat Abbas (AS) limezindua kozi ya tatu ya mafunzo kwa wasomaji wa kimataifa wa Qur’ani Tukufu.
23:06 , 2025 Oct 08
Wito wa kuchunguza uhalifu wa chuki baada ya hujuma dhidi ya  Msikiti Minneapolis, Marekani

Wito wa kuchunguza uhalifu wa chuki baada ya hujuma dhidi ya Msikiti Minneapolis, Marekani

IQNA – Viongozi wa jamii ya Kiislamu mjini Minneapolis wanatoa wito wa uchunguzi wa kina kuhusu iwapo tukio la uvunjaji wa hivi karibuni katika Kituo cha Kiislamu cha Alhikmah linahusiana na tukio la moto lililotokea siku chache kabla katika msikiti huo huo.
23:03 , 2025 Oct 08
Hatua ya Mwisho ya Maonesho ya Kimataifa ya ‘Ulimwengu wa Qur’ani’ Yafikia Tamati Kazan

Hatua ya Mwisho ya Maonesho ya Kimataifa ya ‘Ulimwengu wa Qur’ani’ Yafikia Tamati Kazan

IQNA – Maonesho ya kimataifa ya Qur’ani yenye mwingiliano wa kisasa, yaliyopewa jina la “Ulimwengu wa Qur’ani”, yamehitimishwa rasmi mjini Kazan nchini Russia au Urusi mnamo Oktoba 6, baada ya kuyazunguka miji ya Moscow, Saratov, na Saransk.
22:51 , 2025 Oct 08
Algeria yaripoti zaidi ya Wanafunzi 900,000 wamejiandikisha shule za Qur’ani

Algeria yaripoti zaidi ya Wanafunzi 900,000 wamejiandikisha shule za Qur’ani

IQNA – Serikali ya Algeria imetangaza kuwa zaidi ya wanafunzi 900,000 wamejiandikisha katika shule za Qur’ani na Zawiya, ikieleza mafanikio makubwa katika mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur’ani na juhudi zilizopanuliwa za kielimu.
22:40 , 2025 Oct 08
1