IQNA

Al-Ghamama; Msikiti wa Mawingu na Mvua

Al-Ghamama; Msikiti wa Mawingu na Mvua

IQNA – Msikiti wa Al-Ghamama ni msikiti uliopo Madina ambapo Mtume Mtukufu (SAW) aliomba dua ya mvua. Mtume Muhammad (SAW) aliswali swala ya mvua mahali hapa wakati wa ukame. Kabla ya kumaliza swala lake mawingu yalijitokeza na mvua ikaanza kunyesha. Kwa hivyo, mahali hapa pakaitwa Ghamama, yaani “mawingu.” Mtume Mwenyezi Mungu, Muhammad (SAW) pia aliongoza swala mbili za Eid al-Fitr na Eid al-Adha katika msikiti huu.
16:45 , 2025 Jul 02
Ayatullah Makarem Shirazi:Mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu hauna msingi wala maana

Ayatullah Makarem Shirazi:Mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu hauna msingi wala maana

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Iran amekosoa mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu na kusema “hauna msingi na hauna maana,” akibainisha kuwa mtazamo wao ni wa maslahi binafsi tu.
16:42 , 2025 Jul 02
Rais wa Uturuki akosoa picha ya kuvunjia heshima dini

Rais wa Uturuki akosoa picha ya kuvunjia heshima dini

IQNA – Kibonzo kilichoonekana kuwataja Manabii wa Mwenyezi Mungu kwa njia ya dhihaka kiliibua lawama nyingi nchini Uturuki, ikiwemo kutoka kwa Rais wa nchi hiyo.
16:32 , 2025 Jul 02
Wanawake Waislamu Marekani wawasilisha mashtaka baada ya kuvuliwa Hijabu  wakati wa maandamano

Wanawake Waislamu Marekani wawasilisha mashtaka baada ya kuvuliwa Hijabu wakati wa maandamano

IQNA – Mwanamke wawili Waislamu nchini Marekani wamewasilisha kesi dhidi ya Kaunti ya Orange na idara yake ya sheriff, wakidai kuwa maafisa walilazimisha kuondolewa kwa hijabu zao wakati wa kuwatia mbaroni katika maandamano ya mwaka 2024 huko UC Irvine.
16:24 , 2025 Jul 02
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalikuwa ni kusimama dhidi ya unafiki na dhulma

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalikuwa ni kusimama dhidi ya unafiki na dhulma

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Iran amesisitiza umuhimu mkubwa wa mapinduzi ya Imam Hussein (AS) katika kufufua uhai wa Uislamu wa kweli na kufichua unafiki uliokuwa umejificha ndani ya umma wa Kiislamu.
16:12 , 2025 Jul 02
Indonesia kuendeleza msaada kwa shule za Kiislamu licha ya upungufu wa bajeti

Indonesia kuendeleza msaada kwa shule za Kiislamu licha ya upungufu wa bajeti

IQNA – Serikali ya Indonesia imeahidi kuwa changamoto za bajeti hazitasababisha kusitishwa kwa msaada kwa shule za Kiislamu nchini humo.
15:51 , 2025 Jul 02
Viongozi wa Ulaya waaswa kukomesha kuchochea chuki dhidi ya Uislamu

Viongozi wa Ulaya waaswa kukomesha kuchochea chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya misikiti nchini Uingereza na Ufaransa, viongozi wa Ulaya wametakiwa kuacha kuchochea chuki dhidi ya Uislamu.
23:00 , 2025 Jul 01
Rais wa Iran: Mienendo ya kindumakuwili ya IAEA inasababiisha changamoto kubwa duniani

Rais wa Iran: Mienendo ya kindumakuwili ya IAEA inasababiisha changamoto kubwa duniani

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mienendo ya hivi karibuni ya kindumakuwili ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) inatia wasiwasi na inasababiisha changamoto kubwa kwa imani ya umma ya taifa la Iran."
22:46 , 2025 Jul 01
Hadhi ya Imam Hussein (AS) katika Qur’ani

Hadhi ya Imam Hussein (AS) katika Qur’ani

IQNA – Baadhi ya aya za Qur’an Tukufu zinamhusu, Imam Hussein (AS), ambaye ni shakhsia adhimu na mtukufu katika Uislamu.
22:36 , 2025 Jul 01
Wanaharakati wa Qur'ani Iran wakemea matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu

Wanaharakati wa Qur'ani Iran wakemea matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu

IQNA – Jumuiya ya Wanaharakati wa Qur’an ya Iran imelaani vikali matusi na vitisho vya rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ikiyataja matamshi hayo kuwa shambulizi la moja kwa moja dhidi ya umoja wa Kiislamu na maadili ya Uislamu.
12:53 , 2025 Jul 01
Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto Mpalestina-Mmarekani wa miaka sita aliyekuwa miongoni mwa waliouawa kwa ukatili wa chuki mwaka 2023.
11:33 , 2025 Jun 30
Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kimataifa na wa milele wa harakati ya Imam Hussein (AS), akiuelezea kama ujumbe wa kibinadamu unaowagusa watu wote, bila kujali dini wala asili.
11:18 , 2025 Jun 30
Maonyesho ya kaligrafia kuhusu Imamu Hussein (AS) Yafunguliwa Mashhad

Maonyesho ya kaligrafia kuhusu Imamu Hussein (AS) Yafunguliwa Mashhad

IQNA – Maonyesho ya sanaa ya kaligrafia yaliyopewa jina la "Machozi ya Waridi", yamezinduliwa kwa mnasaba siku za maombolezo za siku kumi za mwanzo za Mwezi wa Muharram, yakionyesha kazi za mtaalamu mahiri wa hati za kaligrafia, Ali Akbar Rezvani.
10:57 , 2025 Jun 30
Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

IQNA – Toleo la tisa la mashindano ya "Kizazi cha Qur’ani" limehitimishwa mjini Ljubljana, likiwa limewakutanisha zaidi ya washiriki elfu moja kutoka maeneo mbalimbali ya Slovenia.
10:51 , 2025 Jun 30
Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

IQNA – Nchi za Afrika zinaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wasafiri Waislamu, huku vivutio vya nchi za Magharibi vikizidi kupoteza mvuto wao kwa watalii hao.
10:41 , 2025 Jun 30
1