IQNA

Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

Kozi ya Mafunzo kwa Majaji wa Mashindano ya Qur’an Yafanyika Nchini Algeria

IQNA – Waziri wa Awqaf wa Algeria, Youssef Belmahdi, ametangaza kukamilika kwa kozi ya tatu ya mafunzo kwa majaji wa mashindano ya Qur’ani Tukufu nchini humo.
17:07 , 2025 Nov 03
Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

Mkuu wa Al-Azhar: Machafuko na Kukosekana kwa Mantiki Duniani Yatokana na Kupuuzwa kwa Maadili ya Kidini

IQNA – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmad al-Tayyib, amesema kuwa dunia inakumbwa na machafuko na ukosefu wa mantiki, hali ambayo chanzo chake ni kupuuzwa kwa maadili ya kidini na kiutu.
17:04 , 2025 Nov 03
Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

Mhadhiri Mmisri Aelezea Maisha ya Kiislamu Nchini Japani

IQNA – Kupitia ukurasa wake wa Facebook, mhadhiri wa chuo kikuu kutoka Misri, Sayed Sharara, amefungua dirisha la kipekee kuonesha maisha ya Waislamu nchini Japani.
17:00 , 2025 Nov 03
20