iqna

IQNA

nchi
Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Nchi kadhaa zimetangaza Jumatatu, Machi 11, kuwa siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu, huku zingine zingine zikitangaza kuwa kuwa ni keshi Jumanne.
Habari ID: 3478486    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/11

Saudi Arabia na nchi kadhaa ambazo ni waungaji mkono wa wazi wa ugaidi zimeunda kile kinachodaiwa kuwa eti ni 'muungano dhidi ya ugaidi'.
Habari ID: 3464302    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/17

Jumuiya ya Ushirikiano wa nchi za Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama kujadili hujuma za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds.
Habari ID: 3365554    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/20

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura cha viongozi wa nchi za Kiislamu kujadili kadhia ya Quds na Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3339755    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/07

Waislamu katika nchi nyingi duniani leo wamenza funga ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3315879    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/18

Zaidi ya nchi 62 zimethibitisha kushiriki katika awamu ya 32 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3185599    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/04/21